Tarehe 18-24/04
AYUBU 28-32
Wimbo 17 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Ayubu Alikuwa Mufano Muzuri wa Uaminifu”: (Dak. 10)
Ayu 31:1—Ayubu alifanya “agano” pamoja na macho yake (w15 15/6 uku. 16 fu. 13; w15 15/1 uku. 25 fu. 10)
Ayu 31:13-15—Ayubu alikuwa munyenyekevu, alipenda haki, na aliwaheshimia wengine (w10 15/11 uku. 30 fu. 8-9)
Ayu 31:16-25—Ayubu aliwasaidia masikini (w10 15/11 uku. 30 fu. 10-11)
Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)
Ayu 32:2—Katika njia gani Ayubu “aliitangaza nafsi yake mwenyewe kuwa adilifu badala ya Mungu”? (w15 1/7 uku. 12 fu. 2; it-1-F uku. 610 fu. 7)
Ayu 32:8, 9—Sababu gani Elihu alifikiri kwamba anapaswa kusema hata kama alikuwa mudogo kuliko wasikilizaji wake? (w06 15/3 uku. 16 fu. 1; it-1-F uku. 117 fu. 2)
Usomaji wa Biblia wa juma hii unanifundisha nini juu ya Yehova?
Ni mambo gani ya usomaji wa juma hii ninaweza kutumia katika mahubiri?
Usomaji wa Biblia: Ayubu 30:24–31:14 (Isipite dak. 4)
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: g16.2 uku. 12-13—Umutayarishe musikilizaji kwa ajili ya kumurudilia. (Isipite dak. 2)
Kumurudilia Mutu: g16.2 uku. 12-13—Umutayarishe musikilizaji kwa ajili ya mazungumuzo ya siku ingine. (Isipite dak. 4)
Funzo la Biblia: bh uku. 148 fu. 8-9 (Isipite dak. 6)
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 115
Tujifunze Kupitia Uaminifu wa Wengine (1Pet 5:9): (Dak. 15) Mazungumuzo. Muonyeshe video yenye kichwa Harold King : Il est resté fidèle en prison. (Muende kwenye tv.pr418.com/fr, chini ya kichwa VIDEO À LA DEMANDE > INTERVIEWS ET TÉMOIGNAGES.) Kisha, muzungumuzie maulizo haya: Ndugu King alifanya nini ili aendelee kuwa na hali nzuri ya kiroho katika gereza? Namna gani kuimba nyimbo za Ufalme kunaweza kutusaidia kuvumilia wakati tunapambana na magumu katika maisha yetu? Namna gani mufano muzuri wa Ndugu King unaweza kutuchochea tukuwe waaminifu?
Funzo la Biblia la Kutaniko: ia sura ya 13 fu. 13-25, mambo ya kukumbuka kwenye uku. 114 (Dak. 30)
Rudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza kisha zungumuzia kwa kifupi mambo yenye mutajifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)
Wimbo 81 na Sala