Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | AYUBU 28-32

Ayubu Alikuwa Mufano Muzuri wa Uaminifu

Ayubu Alikuwa Mufano Muzuri wa Uaminifu

Ayubu aliamua kuendelea kufuata kanuni za Yehova za mwenendo safi

31:1

  • Alizuia macho yake kuangalia mambo mabaya na alikuwa na urafiki wa kimapenzi na bibi yake tu

Ayubu alikuwa mufano muzuri kuhusu namna ya kuwatendea wengine

31:13-15

  • Alikuwa munyenyekevu, alitenda kwa haki, na alikuwa mwenye rehema. Aliwaheshimia watu wa hali zote za maisha

Ayubu alikuwa mukarimu, hakukuwa muchoyo

31:16-19

  • Alikuwa mutu muzuri, aliwasaidia watu wenye walihitaji musaada