Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU| AYUBU 33-37

Rafiki wa Kweli Anatoa Mashauri Yenye Kujenga

Rafiki wa Kweli Anatoa Mashauri Yenye Kujenga

Wakati Elihu alianza kusema, maneno yake na namna alisema na Ayubu ilikuwa tofauti kabisa na mashauri ya Elifazi, Bildadi, na Sofari. Alionyesha kwamba alikuwa rafiki wa kweli na mushauri muzuri mwenye kustahili kuigwa.

MUSHAURI MUZURI ANAPASWA KUWA

ELIHU ALITUACHIA MUFANO MUZURI

32:4-7, 11, 12; 33:1

 

  • MUVUMILIVU

  • TAYARI KUSIKILIZA

  • MWENYE HESHIMA

 
  • Mbele aanze kusema, Elihu alingoja kwa uvumilivu wazee wamalize kusema

  • Kwa kusikiliza kwa uangalifu, Elihu alielewa muzuri mambo mbele ya kutoa mashauri

  • Alimuita Ayubu kwa jina lake na alisema naye kama rafiki yake

 

33:6, 7, 32

 

  • MUNYENYEKEVU

  • MWENYE WATU HAWAOGOPE

  • MWENYE KUJITIA PA NAFASI YA WENGINE

 
  • Elihu alikuwa munyenyekevu na mupole, na alikubali hali yake ya kutokamilika

  • Alijitia pa nafasi ya Ayubu na kuelewa mateso yake

 

33:24, 25; 35:2, 5

 

  • MWENYE USAWAZIKO

  • MUPOLE

  • MWENYE KUTAFUTA MUONGOZO WA MUNGU

 
  • Kwa upole, Elihu alionyesha kwamba mawazo ya Ayubu hayakuwa na usawaziko

  • Elihu alimusaidia Ayubu kuelewa kwamba jambo la maana sana haikukuwa kutetea haki yake mwenyewe

  • Mashauri mazuri ya Elihu yalimutayarisha Ayubu apokee maagizo na mashauri mengine ya Yehova mwenyewe