Rafiki wa Kweli Anatoa Mashauri Yenye Kujenga
Wakati Elihu alianza kusema, maneno yake na namna alisema na Ayubu ilikuwa tofauti kabisa na mashauri ya Elifazi, Bildadi, na Sofari. Alionyesha kwamba alikuwa rafiki wa kweli na mushauri muzuri mwenye kustahili kuigwa.
MUSHAURI MUZURI ANAPASWA KUWA |
ELIHU ALITUACHIA MUFANO MUZURI |
---|---|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|