Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | YEREMIA 25-28

Ukuwe na Ujasiri Kama Yeremia

Ukuwe na Ujasiri Kama Yeremia

Yeremia alionya watu kwamba muji wa Yerusalemu utashambuliwa kama Shilo

26:6

  • Kwanza, Sanduku la agano, lenye lilionyesha kuwapo kwa Yehova, lilikuwa Shilo

  • Kisha, Yehova aliruhusu Wafilisti walinyanganye, na halikurudi tena Shilo

Makuhani, manabii, na watu wote walijaribu kumuogopesha Yeremia kwamba watamuua

26:8, 9, 12, 13

  • Watu walimukamata Yeremia kwa sababu ya mambo yenye alitabiri juu ya Yerusalemu na hekalu

  • Yeremia hakuvunjika moyo na hakukimbia

Yehova alimulinda Yeremia

26:16, 24

  • Yeremia aliendelea kuwa na ujasiri, na Yehova aliendelea kuwa pamoja naye

  • Mungu alichochea Ahikamu amulinde nabii Yeremia bila kuogopa

Yeremia aliweza kuhubiri kwa miaka 40 ujumbe wenye haukupendeza watu wengi kwa sababu Yehova alimutegemeza na kumutia moyo