Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 24-30 Mwezi wa 4

YEREMIA 29-31

Tarehe 24-30 Mwezi wa 4
  • Wimbo 151 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • Yehova Alitabiri Agano Jipya”: (Dak. 10)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Yer 29:4, 7—Sababu gani Wayahudi wenye walikuwa katika utumwa waliombwa watafute amani kwa ajili ya Babiloni, na namna gani tunaweza kutumikisha kanuni hiyo? (w96 1/5 uku. 11 fu. 5)

    • Yer 29:10—Namna gani andiko hili linaonyesha kama unabii wa Biblia haukose kutimia? (g 6/12 uku. 14 fu. 1-2)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini juu ya Yehova?

    • Umepata mali ingine gani ya kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Yer 31:31-40

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) Mt 6:10—Fundisha Kweli.

  • Kumurudilia Mutu: (Isipite dak. 4) Isa 9:6, 7; Ufu 16:14-16—Fundisha Kweli.

  • Hotuba: (Isipite dak. 6) w14 15/12 uku. 21—Kichwa: Yeremia Alimaanisha Nini Wakati Alisema Kwamba Raheli Alilia Watoto Wake?

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 154

  • Mambo ya Kukumbuka Kuhusu Mukusanyiko wa Eneo: (Dak. 15) Hotuba. Rudilia mambo makubwa yenye kupatikana katika Buku la Mukutano la Mwezi wa 4, 2016, ukurasa wa 6 na 8. Muangalie video video Mambo ya Kukumbuka Kuhusu Mukusanyiko wa Eneo. Utie moyo wazazi waandike namba yao ya telefone kwenye sehemu ya nyuma ya badge ya watoto wao wadogo. Hilo litasaidia wakaribishaji wapate wazazi wa watoto wenye wanaweza kupotea. Chochea wasikilizaji wote ili wakuwe na hamu ya kuhuzuria mukusanyiko wa eneo wa 2017.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 11 fu. 22-28, maulizo ya kujikumbusha kwenye kisanduku “Ufalme Ni Jambo la Kweli Kwako?

  • Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)

  • Wimbo 120 na Sala