Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 3-9 Mwezi wa 4

YEREMIA 17-21

Tarehe 3-9 Mwezi wa 4
  • Wimbo 69 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • Kubali Yehova Afinyange Mawazo na Mwenendo Wako”: (Dak. 10)

    • Yer 18:1-4—Mufinyanzi iko na mamlaka juu ya udongo (w99 1/4 uku. 22 fu. 3)

    • Yer 18:5-10—Yehova iko na mamlaka juu ya wanadamu (it-2-F uku. 770 fu. 4)

    • Yer 18:11—Kubali Yehova akufinyange (w99 1/4 uku. 22 fu. 4-5)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Yer 17:9—Ni wakati gani inaweza kuonekana wazi kama moyo ni mudanganyifu? (w01 15/10 uku. 25 fu. 13)

    • Yer 20:7—Ni katika njia gani Yehova alitumia nguvu zake ili kumupinga Yeremia na kwa njia hiyo akamupumbaza? (w07 15/3 uku. 9 fu. 6)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini juu ya Yehova?

    • Umepata mali ingine gani ya kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Yer 21:3-14

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Tujitayarishe ili Kutolea Watu Vichapo Katika Mwezi Huu: (Dak. 15) Mazungumuzo yenye kutegemea sehemu “Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo.” Muangalie video zenye kuonyesha namna ya kuanzisha mazungumuzo, kisha muzungumuzie mambo makubwa. Utie moyo wahubiri wote warudilie watu wenye walikubali trakte Ufalme wa Mungu Ni Nini?

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 118

  • Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 5) Kama munapenda munaweza kuzungumuzia habari zenye kupatikana katika Kitabu cha Mwaka. (yb16 uku. 22)

  • Tuwakaribishe kwa Furaha”: (Dak. 10) Uanze na hotuba ya dakika tatu. Mumalizie kwa kuangalia video Steve Gerdes: Hatuwezi Kusahau Hata Kidogo Namna Walitukaribisha.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 10 fu. 12-19, kisanduku kwenye uku. 105 (kuume), na maulizo ya kujikumbusha kwenye uku. 107

  • Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)

  • Wimbo 5 na Sala