Tarehe 1-7/04
1 WAKORINTO 7-9
Wimbo 136 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Faida ya Kubakia Bila Kuoa ao Kuolewa”: (Dak. 10)
1Ko 7:32—Wakristo wenye hawayafunga ndoa wanaweza kumutumikia Yehova bila mahangaiko yenye inatokana na ndoa (w11 15/1 uku. 17-18 fu. 3)
1Ko 7:33, 34—Wakristo wenye wako mu ndoa ‘wanahangaikia mambo ya ulimwengu’ (w08 15/7 uku. 27 fu. 1)
1Ko 7:37, 38—Wakristo wenye wanabakia bila kuoa ao kuolewa juu ya kufuatia miradi ya kiroho ‘watafanya muzuri zaidi’ kupita Wakristo wenye wamefunga ndoa (w96 15/10 uku. 12-13 fu. 14)
Chimba Ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)
1Ko 7:11—Ni hali gani zinaweza kufanya Mukristo aamue kutengana na bibi ao bwana yake? (lvs uku. 251)
1Ko 7:36—Juu ya nini ni muzuri Mukristo aoe ao kuolewa kisha ‘kupita mwanzo wa kipindi cha ujana’? (w00 15/7 uku. 31 fu. 2)
Usomaji wa Biblia wa hii juma umekufundisha nini juu ya Yehova?
Umepata mali ingine gani ya kiroho mu usomaji wa Biblia wa hii juma?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) 1Ko 8:1-13 (th somo ya 5)
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Fanya Bidii Katika Kusoma na Kufundisha: (Dak. 10) Mazungumuzo. Muangalie video Kutanguliza Maandiko Muzuri, na kisha muzungumuzie somo ya 4 ya broshua Kufundisha.
Hotuba: (Isipite dak. 5) w12 15/11 uku. 20—Kichwa: Wale Wenye Wanachagua Kubakia Bila Kuoa ao Kuolewa Wamepata Zawadi Hiyo kwa Njia ya Kimuujiza? (th somo ya 12)
MAISHA YA MUKRISTO
Unaweza Kuwa na Furaha Hata Kama Hauyaoa ao Kuolewa: (Dak. 15) Muangalie video. Kisha uliza hii maulizo: Ni magumu gani yenye Wakristo wenye hawayaoa ao kuolewa wanapambana nayo? (1Ko 7:39) Juu ya nini binti ya Yefta ni mufano muzuri? Yehova anaahidi nini wale wenye wanatembea kwa uaminifu-mushikamanifu? (Zb 84:11) Ndugu na dada mu kutaniko wanaweza kufanya nini juu ya kutia moyo Wakristo wenye hawayafunga ndoa? Ni mambo gani Wakristo wenye hawayaoa ao kuolewa wanaweza kufanya mu kazi ya Yehova?
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 61
Rudilia mambo fulani yenye mumejifunza, na useme mambo fulani ya kujifunza juma kesho (Dak. 3)
Wimbo 42 na Sala