Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 1-7/04

1 WAKORINTO 7-9

Tarehe 1-7/04
  • Wimbo 136 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • Faida ya Kubakia Bila Kuoa ao Kuolewa”: (Dak. 10)

    • 1Ko 7:32​—Wakristo wenye hawayafunga ndoa wanaweza kumutumikia Yehova bila mahangaiko yenye inatokana na ndoa (w11 15/1 uku. 17-18 fu. 3)

    • 1Ko 7:33, 34​—Wakristo wenye wako mu ndoa ‘wanahangaikia mambo ya ulimwengu’ (w08 15/7 uku. 27 fu. 1)

    • 1Ko 7:37, 38​—Wakristo wenye wanabakia bila kuoa ao kuolewa juu ya kufuatia miradi ya kiroho ‘watafanya muzuri zaidi’ kupita Wakristo wenye wamefunga ndoa (w96 15/10 uku. 12-13 fu. 14)

  • Chimba Ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • 1Ko 7:11​—Ni hali gani zinaweza kufanya Mukristo aamue kutengana na bibi ao bwana yake? (lvs uku. 251)

    • 1Ko 7:36​—Juu ya nini ni muzuri Mukristo aoe ao kuolewa kisha ‘kupita mwanzo wa kipindi cha ujana’? (w00 15/7 uku. 31 fu. 2)

    • Usomaji wa Biblia wa hii juma umekufundisha nini juu ya Yehova?

    • Umepata mali ingine gani ya kiroho mu usomaji wa Biblia wa hii juma?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) 1Ko 8:1-13 (th somo ya 5)

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 37

  • Unaweza Kuwa na Furaha Hata Kama Hauyaoa ao Kuolewa: (Dak. 15) Muangalie video. Kisha uliza hii maulizo: Ni magumu gani yenye Wakristo wenye hawayaoa ao kuolewa wanapambana nayo? (1Ko 7:39) Juu ya nini binti ya Yefta ni mufano muzuri? Yehova anaahidi nini wale wenye wanatembea kwa uaminifu-mushikamanifu? (Zb 84:11) Ndugu na dada mu kutaniko wanaweza kufanya nini juu ya kutia moyo Wakristo wenye hawayafunga ndoa? Ni mambo gani Wakristo wenye hawayaoa ao kuolewa wanaweza kufanya mu kazi ya Yehova?

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 61

  • Rudilia mambo fulani yenye mumejifunza, na useme mambo fulani ya kujifunza juma kesho (Dak. 3)

  • Wimbo 42 na Sala