Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | 2 WAKORINTO 1-3

Yehova Njo “Mungu wa Faraja Yote”

Yehova Njo “Mungu wa Faraja Yote”

1:3, 4

Njia moja yenye Yehova anatumia juu ya kutufariji ni kutaniko la Kikristo. Ni mambo gani tunaweza kufanya juu ya kufariji watu wenye wamefiwa?

  • Tuwasikilize bila kuwakatiza

  • ‘Tulie pamoja na wale wenye kulia.’​—Ro 12:15

  • Tuwatumie karte yenye iko na maneno ya kutia moyo, tuwaandikie e-mail, ao ujumbe ku telefone.​—w17.07 uku. 15, kisanduku

  • Tusali nao na kwa ajili yao