Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo

Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo

●○○ KUMUTEMBELEA MUTU MARA YA KWANZA

Ulizo: Wakati Mungu aliumba wanadamu, alikuwa na kusudi gani?

Andiko: Mwa 1:28

Ulizo la Kuachia Mutu: Ni nini inaonyesha kama Mungu atatimiza kusudi lenye alikuwa nalo wakati aliumba wanadamu?

○●○ KUMURUDILIA MUTU MARA YA KWANZA

Question: Ulizo: Ni nini inaonyesha kama Mungu atatimiza kusudi lenye alikuwa nalo wakati aliumba wanadamu?

Andiko: Isa 55:11

Ulizo la Kuachia Mutu: Maisha itakuwa namna gani wakati Mungu atatimiza kusudi lake?

○○● KUMURUDILIA MUTU MARA YA PILI

Ulizo: Maisha itakuwa namna gani wakati Mungu atatimiza kusudi lake?

Andiko: Zb 37:10, 11

Ulizo la Kuachia Mutu: Tunapaswa kufanya nini juu tufikie kupata baraka zenye Mungu atatuletea?

KAMPANYE YA KUALIKA WATU KU UKUMBUSHO (Tarehe 14/3–7/4):

“Tunakuja kukualika kwenye tukio la maana sana. Watu mingi sana watakutana ili kukumbuka kifo cha Yesu.” Umupatie musikilizaji mualiko. “Ku huu mwaliko utaona saa na mahali kwenye ule mukutano utafanyika mu eneo letu. Tena, tunakualika kusikiliza hotuba ya pekee yenye itatolewa juma moja mbele ya juma la Ukumbusho.”

Ulizo la Kuachia Mutu Kama Anapendezwa: Juu ya nini Yesu alikufa?