Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MWANZO 31

Yakobo na Labani Wanafanya Agano la Amani

Yakobo na Labani Wanafanya Agano la Amani

31:44-53

Juu ya nini Yakobo na Labani walifanya rundo la majiwe?

  • Ilikuwa sawa vile alama kwa wapita-njia wote yenye ilionyesha kama walikuwa wamefanya agano la amani

  • Ilikuwa inawakumbusha kama Yehova alikuwa anaangalia ili aone ikiwa waliendelea kutimiza agano lao la amani

Leo, Yehova anapenda kukuwe amani kati ya ndugu na dada. Namna gani mambo tatu yenye kufuata itatusaidia tuendelee kuwa na amani ao kurudisha amani?