Tarehe 20-26/4
MWANZO 32-33
Wimbo 21 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Uko Unapigana ili Kupata Baraka?”: (Dak. 10)
Mwa 32:24—Yakobo alipigana na malaika (w03 15/8 uku. 25 fu. 3)
Mwa 32:25, 26—Yakobo hakuacha kupigana mupaka apewe baraka (it-1-F uku. 356)
Mwa 32:27, 28—Yakobo alibarikiwa kwa sababu hakuchoka (it-1-F uku. 1212)
Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 10)
Mwa 32:11, 13-15—Namna gani tunaweza kuiga bidii ya Yakobo ya kupenda kufanya amani? (w10 15/6 uku. 22 fu. 10-11)
Mwa 33:20—Juu ya nini Yakobo aliita mazabahu “Mungu, Mungu wa Israeli”? (it-1-F uku. 641)
Katika usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova Mungu, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Mwa 32:1-21 (th somo ya 5)
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Video ya Kumurudilia Mutu Mara ya Kwanza: (Dak. 5) Mazungumuzo. Muangalie video. Kisha uulize wasikilizaji maulizo yenye kufuata: Namna gani dada Elise alisema mambo ya kweli na yenye kusadikisha? Namna gani Elise na Morgan walisaidiana kuhubiri?
Kumurudilia Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 3) Tumia ukurasa wa kwanza. (th somo ya 12)
Kumurudilia Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 5) Anza kwa kutumia ukurasa wa kwanza. Kisha ufanye utangulizi wa video Tunajifunzaka Biblia na Watu Namna Gani? na uizungumuzie (lakini usiionyeshe). (th somo ya 16)
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 35
“Nini Njo Ninaona Kuwa ya Maana Zaidi?”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie video Endelea Kukaza Akili Juu ya Miradi ya Kiroho.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 111 fu. 10-21
Maneno ya Kumalizia (Isipite dak. 3)
Wimbo 150 na Sala