Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MWANZO 32-33

Uko Unapigana ili Kupata Baraka?

Uko Unapigana ili Kupata Baraka?

32:24-28

Ili Yehova atubariki, tunapaswa kujikaza sana ili kuhakikisha kama kumutumikia njo jambo la maana zaidi mu maisha yetu. (1Ko 9:26, 27) Wakati tunamutumikia Yehova, tunapaswa kuonyesha roho kama ile yenye Yakobo alikuwa nayo wakati alipigana na malaika. Tunaonyesha kama tunatafuta kabisa baraka ya Yehova ikiwa . . .

  • Tunatayarisha muzuri mikutano ya kutaniko

  • Tunahubiri kwa ukawaida

  • Tunajikaza kusaidia wengine mu kutaniko

Hata hali yako ikuwe nguvu namna gani, sali kila mara ili Yehova akusaidie na utafute baraka yake kwa kumutumikia kwa bidii.

UJIULIZE HIVI, ‘Ninapaswa kujikaza sana kufanya mambo gani mu maisha yangu ili nipate baraka ya Yehova?’