Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 27/4–3/5

MWANZO 34-35

Tarehe 27/4–3/5
  • Wimbo 28 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • Matokeo ya Mubaya Sana ya Kufanya Urafiki na Watu Wabaya”: (Dak. 10)

    • Mwa 34:1​—Dina alizoea kutembelea vijana wanamuke wa Kanaani (w97 1/2 uku. 30 fu. 4)

    • Mwa 34:2​—Shekemu alimulala dina kinguvu (lvs uku. 124 fu. 14)

    • Mwa 34:7, 25​—Simeoni na Lawi waliua Shekemu na wanaume wote katika muji (w09 1/9 uku. 21 fu. 1-2)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 10)

    • Mwa 35:8​—Debora alikuwa nani, na mufano wake unaweza kutufundisha nini? (it-1-F uku. 603 fu. 9)

    • Mwa 35:22-26​—Nini njo inaonyesha kama kizazi chenye kuongoza kwa Masiya hakikupitishwa tu kupitia haki ya kuwa muzaliwa wa kwanza? (w17.12 uku. 14)

    • Katika usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova Mungu, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo lingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Mwa 34:1-19 (th somo ya 5)

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

MAISHA YA MUKRISTO