Tarehe 27/4–3/5
MWANZO 34-35
Wimbo 28 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Matokeo ya Mubaya Sana ya Kufanya Urafiki na Watu Wabaya”: (Dak. 10)
Mwa 34:1—Dina alizoea kutembelea vijana wanamuke wa Kanaani (w97 1/2 uku. 30 fu. 4)
Mwa 34:2—Shekemu alimulala dina kinguvu (lvs uku. 124 fu. 14)
Mwa 34:7, 25—Simeoni na Lawi waliua Shekemu na wanaume wote katika muji (w09 1/9 uku. 21 fu. 1-2)
Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 10)
Mwa 35:8—Debora alikuwa nani, na mufano wake unaweza kutufundisha nini? (it-1-F uku. 603 fu. 9)
Mwa 35:22-26—Nini njo inaonyesha kama kizazi chenye kuongoza kwa Masiya hakikupitishwa tu kupitia haki ya kuwa muzaliwa wa kwanza? (w17.12 uku. 14)
Katika usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova Mungu, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Mwa 34:1-19 (th somo ya 5)
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Video ya Kumurudilia Mutu Mara ya Pili: (Dak. 5) Mazungumuzo. Muangalie video. Kisha uliza wasikilizaji maulizo yenye kufuata: Dada Elise alifanya nini ili kugusa moyo wa musikilizaji? Namna gani tunaweza kuanzisha funzo la Biblia kwa kutumia kitabu Biblia Inatufundisha Nini?
Kumurudilia Mutu Mara ya Pili: (Isipite dak. 3) Tumia ukurasa wa kwanza. (th somo ya 13)
Funzo la Biblia: (Isipite dak. 5) fg somo la 4 fu. 6-7 (th somo ya 14)
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 40
“Muondoe Miungu ya Kigeni”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie video “Umupinge Ibilisi.”
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 112
Maneno ya Kumalizia (Isipite dak. 3)
Wimbo 143 na Sala