Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MWANZO 34-35

Matokeo ya Mubaya Sana ya Kufanya Urafiki na Watu Wabaya

Matokeo ya Mubaya Sana ya Kufanya Urafiki na Watu Wabaya

34:1, 2, 7, 25

Pengine tunaonaka kama majirani wetu, wanafunzi wenzetu, na wafanyakazi wenzetu wako na sifa fulani za muzuri, lakini, ni kusema ni marafiki wazuri? Nini njo inaweza kutusaidia kujua ikiwa mutu fulani ni rafiki muzuri ao rafiki mubaya?

  • Watu wenye ninafanya nao urafiki wanaweza kunisaidia nikuwe na urafiki muzuri zaidi pamoja na Yehova?

  • Mazungumuzo yao inaonyesha nini juu ya mambo yenye wanaona kuwa ya maana?​—Mt 12:34

UJIULIZE HIVI, ‘Marafiki wangu wanafanya uhusiano wangu pamoja na Yehova ukuwe muzuri ao mubaya’?