Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 6-12/4

Siku ya Pili, Tarehe 7 Mwezi wa 4, 2020​—Ukumbusho wa Kifo cha Yesu

Tarehe 6-12/4

Kila mwaka, wakati wa kipindi cha Ukumbusho Wakri- sto mingi wanafikiri sana juu ya upendo mukubwa zaidi wenye watu wawili walionyesha, ni kusema, upendo wa Yehova Mungu na wa Mwana wake, Yesu Kristo. (Yoh 3: 16; 15:13) Unaweza kutumia muchoro wenye kufuata ili kupata maandiko mu vitabu vya Injili yenye kuzungumuzia mambo yenye Yesu alifanya Yerusalemu mbele ya kifo chake. Ile matukio inazungumuziwa mu sehemu ya 6 ya kitabu Yesu​—Ni Njia, Kweli, na Uzima. Upendo wenye Mungu na Kristo walituonyesha utakuchochea kufanya nini?​—2Ko 5:14, 15; 1Yo 4:16, 19.

UTUMISHI WA MWISHO WA YESU KATIKA YERUSALEMU

Wakati

Mahali

Tukio

Matayo

Marko

Luka

Yohana

33, Nisani 8 (Tarehe 1-2/4, 2020)

Betania

Betania Yesu anafika siku sita mbele ya Pasaka

 

 

 

11:55–12:1

Nisani 9 (Tarehe 2-3/4, 2020)

Betania

Maria anamwanga mafuta kwenye kichwa na miguu ya Yesu

26:6-13

14:3-9

 

12:2-11

Betania-Betfage-Yerusalemu

Anaingia Yerusalemu kwa ushindi, akiwa juu ya punda

21:1-11, 14-17

11:1-11

19:29-44

12:12-19

Nisani 10 (Tarehe 3-4/4, 2020)

Betania-Yerusalemu

Analaani muti wa tini; anasafisha tena hekalu

21:18, 19; 21:12, 13

11:12-17

19:45, 46

 

Yerusalemu

Wakubwa wa makuhani na waandishi wanafanya mupango wa kumuua Yesu

 

11:18, 19

19:47, 48

 

Yehova anasema; Yesu anatabiri kifo chake; kukosa imani kwa Wayahudi kunatimiza unabii wa Isaya

 

 

 

12:20-50

Nisani 11 (Tarehe 4-5/4, 2020)

Betania-Yerusalemu

Somo kutokana na muti wa tini wenye ulikauka

21:19-22

11:20-25

 

 

Yerusalemu, hekalu

Mamlaka ya Yesu yanapingwa; mufano wa wana wawili

21:23-32

11:27-33

20:1-8

 

Mifano: walimaji wauaji, karamu ya ndoa

21:33–22:14

12:1-12

20:9-19

 

Anajibu maulizo juu ya Mungu na Kaisari,ufufuo, amri kubwa zaidi

22:15-40

12:13-34

20:20-40

 

Anauliza watu ikiwa Kristo ni mwana wa Daudi

22:41-46

12:35-37

20:41-44

 

Ole wao waandishi na Wafarisayo

23:1-39

12:38-40

20:45-47

 

Anaangalia muchango wa mujane

 

12:41-44

21:1-4

 

Mulima wa Mizeituni

Anatoa alama ya kuwapo kwake wakati wenye kuja

24:1-51

13:1-37

21:5-38

 

Mifano: mabikira kumi, talanta, kondoo na mbuzi

25:1-46

 

 

 

Nisani 12 (Tarehe 5-6/4, 2020)

Yerusalemu

Viongozi wa Wayahudi wanafanya mupango wa kumuua

26:1-5

14:1, 2

22:1, 2

 

Yuda anapanga namna atamusaliti

26:14-16

14:10, 11

22:3-6

 

Nisani 13 (Tarehe 6-7/4, 2020)

Karibu na ndani ya Yerusalemu

Anatayarisha Pasaka ya mwisho

26:17-19

14:12-16

22:7-13

 

Nisani 14 (Tarehe 7-8/4, 2020)

Yerusalemu

Anakula Pasaka pamoja na mitume

26:20, 21

14:17, 18

22:14-18

 

Ananawisha miguu ya mitume

 

 

 

13:1-20

Yesu anaonyesha kama Yuda ni musaliti na anamufukuza

26:21-25

14:18-21

22:21-23

13:21-30

Anaanzisha Chakula cha Mangaribi cha Bwana (1Kor 11:23-25)

26:26-29

14:22-25

22:19, 20, 24-30

 

Anatabiri kwamba Petro atamukana na mitume watatawanyika

26:31-35

14:27-31

22:31-38

13:31-38

Anaahidi musaidizi; mufano wa muzabibu wa kweli; anatoa amri ya kupendana; sala ya mwisho pamoja na mitume

 

 

 

14:1–17:26

Getsemane

Maumivu makali katika bustani; kusalitiwa na kukamatwa kwa Yesu

26:30, 36-56

14:26, 32-52

22:39-53

18:1-12

Yerusalemu

Anaulizwa maulizo na Anasi; anahukumiwa na Kayafa, Sanhedrini; Petro anamukana

26:57–27:1

14:53–15:1

22:54-71

18:13-27

Yuda musaliti anajitundika (Mdo 1:18, 19)

27:3-10

 

 

 

Mbele ya Pilato, kisha mbele ya Herode, na anarudishwa kwa Pilato

27:2, 11-14

15:1-5

23:1-12

18:28-38

Pilato anatafuta kumuachilia lakini Wayahudi wanaomba wapewe Baraba; anahukumiwa kifo kwenye muti wa mateso

27:15-30

15:6-19

23:13-25

18:39–19:16

(Karibu saa 9 kisha mucha- nakati.)

Golgota

Anakufa kwenye muti wa mateso

27:31-56

15:20-41

23:26-49

19:16-30

Yerusalemu

Mwili wake unaondolewa kwenye muti na kuwekwa ndani ya kaburi

27:57-61

15:42-47

23:50-56

19:31-42

Nisani 15 (Ta- rehe 8-9/4, 2020)

Yerusalemu

Makuhani na Wafarisayo wanaweka walinzi kwenye kaburi na wanalitia muhuri

27:62-66

 

 

 

Nisani 16 (Tarehe 9-10/4, 2020)

Yerusalemu maeneo ya pembeni-pembeni; Emau

Yesu anafufuliwa; anatokea wanafunzi mara tano

28:1-15

16:1-8

24:1-49

20:1-25

Kisha Nisani 16

Yerusalemu; Galilaya

Anatokea wanafunzi mara nyingi (1Kor 15:5-7; Mdo 1:3-8); anatoa maagizo; anawatuma wafanye wanafunzi

28:16-20

 

 

20:26–21:25