Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

TUJITOE KABISA MU KAZI YA KUHUBIRI

Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo

Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo

Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza *

Ulizo: Tunajua namna gani kama mateso yetu haiko malipizi kutoka kwa Mungu?

Andiko: Yak 1:13

Ulizo ya Kuachia Mutu: Juu ya nini tunateseka?

Kumurudilia Mutu *

Ulizo: Juu ya nini tunateseka?

Andiko: 1Yo 5:19

Ulizo ya Kuachia Mutu: Mungu anajisikia namna gani wakati tunateseka?

^ ^ Unaweza kubadilisha maulizo na kuipatanisha na hali ya kwenu.