Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 16-22

2 Samweli 1-3

Tarehe 16-22
  • Wimbo 103 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

  • Tunajifunza Nini Kutokana na ‘Upinde’?”: (Dak. 10)

  • Mali ya Kiroho: (Dak. 10)

    • 2Sa 1:26​—Juu ya nini Daudi alimuita Yonatani “ndugu yangu”? (it-1-F uku. 928 fu. 3)

    • Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo ingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) 2Sa 3:1-16 (th somo ya 5)

TUJITOE KABISA MU KAZI YA KUHUBIRI

MAISHA YA MUKRISTO