Tarehe 16-22
2 Samweli 1-3
Wimbo 103 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
UTAJIRI WA NENO YA MUNGU
“Tunajifunza Nini Kutokana na ‘Upinde’?”: (Dak. 10)
Mali ya Kiroho: (Dak. 10)
2Sa 1:26—Juu ya nini Daudi alimuita Yonatani “ndugu yangu”? (it-1-F uku. 928 fu. 3)
Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo ingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) 2Sa 3:1-16 (th somo ya 5)
TUJITOE KABISA MU KAZI YA KUHUBIRI
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Dak. 3) Anza na sehemu Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo. Jibia kizuia-mazungumuzo yenye watu wanazoea kutokeza mu mu eneo yenu. (th somo ya 3)
Kumurudilia Mutu: (Dak. 4) Anza na sehemu Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo. Ambia musikilizaji kama tunajifunzaka Biblia na watu bila kulipa, na umupatie karte ya jw.org. (th somo ya 20)
Funzo ya Biblia: (Dak. 5) lff somo ya 04 nukta ya 5 na sehemu Watu Fulani Wanasemaka (th somo ya 19)
MAISHA YA MUKRISTO
“Upendo . . . Haufurahie Ukosefu wa Haki”: (Dak. 7) Mazungumuzo. Muangalie video Kumbuka Namna Upendo Unajiendesha—Haufurahie Ukosefu wa Haki.
“Upendo . . . Unatumaini Mambo Yote”: (Dak. 8) Mazungumuzo. Muangalie video Kumbuka Namna Upendo Unajiendesha—Unatumaini Mambo Yote
Funzo ya Biblia ya Kutaniko: (Dak. 30) lff somo ya 04
Maneno ya Kumalizia (Dak. 3)
Wimbo 2 na Sala