Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

Tunajifunza Nini Kutokana na “Upinde”?

Tunajifunza Nini Kutokana na “Upinde”?

[Muangalie video Utangulizi wa Kitabu ya 2 Samweli.]

Heshimia wale wenye kuwa na mamlaka (2Sa 1:17, 18, 23, 24; w00-SW 15/6 uku. 13 fu. 9)

Ukuwe mushikamanifu kwa marafiki wako (2Sa 1:25, 26; w12 15/4 uku. 10 fu. 8)

UJIULIZE HIVI: ‘Naweza kufanya nini ili kuonyesha kama naheshimia wazee wa mu kutaniko? Naweza kufanya nini ili kuonyesha kama niko mushikamanifu kwa Wakristo wenzangu?’