Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

MAISHA YA MUKRISTO

“Upendo . . . Haufurahie Ukosefu wa Haki”

“Upendo . . . Haufurahie Ukosefu wa Haki”

Mu mambo yote yenye Wakristo wanafanyaka, wanajikazaka kuacha upendo uwaongoze. Upendo “haufurahie ukosefu wa haki.” (1Ko 13:4, 6) Kwa hiyo, tunaepuka mambo ya kujifurahisha yenye inasifu uasherati na jeuri. Pia, hatufurahi wakati wengine wanapatwa na mambo ya mubaya, hata kama ni wale wenye walituumiza.​—Mez 17:5.

MUANGALIE VIDEO KUMBUKA NAMNA UPENDO UNAJIENDESHA​—HAUFURAHIE UKOSEFU WA HAKI, KISHA MUJIBIE HII MAULIZO:

  • Daudi alitenda namna gani wakati alipata habari kama Sauli na Yonatani wamekufa?

  • Ni wimbo gani wa huzuni wenye Daudi alitunga kwa ajili ya Sauli na Yonatani?

  • Juu ya nini Daudi hakufurahi wakati Sauli alikufa?