Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

MAISHA YA MUKRISTO

“Upendo . . . Unatumaini Mambo Yote”

“Upendo . . . Unatumaini Mambo Yote”

Upendo wa bila uchoyo unatuchochea kutumaini kama ndugu zetu watakamata maamuzi ya muzuri. (1Ko 13:4, 7) Kwa mufano, kama ndugu yetu anafanya zambi na anapata nizamu, tunatumaini kama ataikubali na atafanya mabadiliko. Tunavumilia wale wenye imani yao ingali zaifu na tunajikaza kuwasaidia. (Ro 15:1) Kama mutu fulani anaacha kutaniko, tunaendelea kutumaini kama siku moya atarudia.​—Lu 15:17, 18.

MUANGALIE VIDEO KUMBUKA NAMNA UPENDO UNAJIENDESHA​—UNATUMAINI MAMBO YOTE, NA KISHA MUJIBIE HII MAULIZO:

  • Abneri alifanya nini ili kuonyesha kama alishabadilika?

  • Daudi na Yoabu waliitikia namna gani ombi ya Abneri?

  • Juu ya nini tunapaswa kutumaini kama ndugu zetu watakamata maamuzi ya muzuri?