Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 23-29/5

2 Samweli 4-6

Tarehe 23-29/5
  • Wimbo 135 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

  • Endelea Kuogopa Kumuchukiza Yehova”: (Dak. 10)

  • Mali ya Kiroho: (Dak. 10)

    • 2Sa 6:8, 9​—Namna Daudi alitenda wakati Yehova alikasirika inatufundisha nini? (w96-SW 1/4 uku. 29 fu. 1)

    • Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo ingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) 2Sa 4:1-12 (th somo ya 10)

TUJITOE KABISA MU KAZI YA KUHUBIRI

MAISHA YA MUKRISTO