Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

Endelea Kuogopa Kumuchukiza Yehova

Endelea Kuogopa Kumuchukiza Yehova

Mambo yenye Mungu anatuomba haiwezi kubadilika hata kama mutu iko na nia ya muzuri (2Sa 6:3-5; w05 15/5 uku. 17 fu. 8)

Uza alivunja Sheria ya Mungu (2Sa 6:6; w05-SW 1/2 uku. 27 fu. 20)

Yehova alimupatia Uza nizamu juu ya tendo yake ya kukosa heshima (2Sa 6:7; w05-SW 1/2 uku. 27 fu. 21)

UJIULIZE HIVI, ‘Naweza kuonyesha namna gani mu maisha yangu kama naogopa kumuchukiza Yehova?’​—Mez 3:7