UTAJIRI WA NENO YA MUNGU
Absalomu Aliasi juu ya Kiburi
Absalomu alijitafutia utukufu (2Sa 15:1; it-2-F uku. 630 fu. 2)
Absalomu aliiba mioyo ya watu (2Sa 15:2-6; w12 15/7 uku. 13 fu. 5)
Absalomu alijaribu kunyanganya ufalme wa baba yake (2Sa 15:10-12; it-1-F uku. 1101 fu. 4)
Tunapaswa epuka kujitafutia makubwa. Kuliko kufanya vile, tunapaswa kuwa nachunguza nia yetu kwa ukawaida; na kuliko kutafuta kusifiwa, tunaangalia faida za wengine.—Flp 2:3, 4.