UTAJIRI WA NENO YA MUNGU
Yehova Anafanya Agano Pamoya na Daudi
Yehova alimuambia Daudi kama wafalme watatoka mu familia yake (2Sa 7:11, 12, maelezo ya chini; w10-SW 1/4 uku. 20 fu. 3; ona picha ya ku jalada)
Sehemu mbalimbali za agano yenye Yehova alifanya pamoya na Daudi zilitimia katika Masiya (2Sa 7:13, 14; Ebr 1:5; w10-SW 1/4 uku. 20 fu. 4)
Baraka za utawala wa kimasiya ni za milele (2Sa 7:15, 16; Ebr 1:8; w14 15/10 uku. 10 fu. 14)
Jua na mwezi vinatukumbusha kama utawala wa kimasiya ni wa milele. (Zb 89:35-37) Wakati unaviangalia, fikiria baraka zenye Yehova amekuahidi weye na familia yako kupitia Ufalme wake.