Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

Ona Wengine Vile Yehova Anawaona

Ona Wengine Vile Yehova Anawaona

Mufalme Yehoshafati alikamata uamuzi wenye kukosa hekima wakati alifanya mapatano na Mufalme Ahabu (2Ny 18:1-3; w17.03 uku. 24 fu. 7)

Yehova alimutuma Yehu ili amukaripie Yehoshafati (2Ny 19:1, 2)

Yehova alikumbuka mambo ya muzuri yenye Yehoshafati alikuwa amefanya tayari (2Ny 19:3; w15 15/8 uku. 6 fu. 8-9)

UJIULIZE HIVI: ‘Sawa Yehova, ninaonaka sifa za muzuri za ndugu na dada kuliko kukazia hali yao ya kutokamilika?’