Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

MAISHA YA MUKRISTO

Ujilinde ili Waasi-Imani Wasikudanganye

Ujilinde ili Waasi-Imani Wasikudanganye

Shetani na watu wake wanachangaka uongo na kweli ili kujaribu kuregeza imani yetu. (2Ko 11:3) Kwa mufano, Waashuru walitumia kweli nusu-nusu na uongo ili kuvunja moyo watu wa Yehova. (2Ny 32:10-15) Leo waasi-imani wanatumia njia ileile. Utatenda namna gani wakati unakutana na mafundisho ya waasi-imani? Uone mafundisho yao sawa vile sumu! Hata siku moja usiisome, usiielezee wengine, ao kujibia waasi-imani. Utambue bila kukawia mafundisho yenye iko na kusudi ya kukufanya ukuwe na mashaka juu ya Yehova na tengenezo yake, na kisha uiepuke kabisa!​—Yud 3, 4.

MUANGALIE VIDEO MUPIGANIE KABISA IMANI”!​—SEHEMU KISHA MUJIBIE MAULIZO YENYE KUFUATA

  • Juu ya nini tunapaswa kuwa waangalifu wakati tuko natumikisha Enternete?

  • Tunaweza kufuata namna gani shauri yenye kuwa mu Waroma 16:17?