UTAJIRI WA NENO YA MUNGU
Utie Wengine Nguvu Wakati wa Magumu
Senakeribu alishambulia Yuda na akaogopesha watu wa Yerusalemu (2Ny 32:1; it-1-F uku. 212 fu. 6)
Hezekia alikamata mipango ili kulinda Yerusalemu (2Ny 32:2-5; w13 15/11 uku. 19 fu. 12)
Hezekia alitia nguvu watu wa Mungu kupitia maneno yake (2Ny 32:6-8; w13 15/11 uku. 19 fu. 13)
UJIULIZE HIVI, ‘Namna gani ninaweza kusaidia ndugu zangu wakati wa magumu?’