Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

Utie Wengine Nguvu Wakati wa Magumu

Utie Wengine Nguvu Wakati wa Magumu

Senakeribu alishambulia Yuda na akaogopesha watu wa Yerusalemu (2Ny 32:1; it-1-F uku. 212 fu. 6)

Hezekia alikamata mipango ili kulinda Yerusalemu (2Ny 32:2-5; w13 15/11 uku. 19 fu. 12)

Hezekia alitia nguvu watu wa Mungu kupitia maneno yake (2Ny 32:6-8; w13 15/11 uku. 19 fu. 13)

UJIULIZE HIVI, ‘Namna gani ninaweza kusaidia ndugu zangu wakati wa magumu?’