Tarehe 15-21/5
2 MAMBO YA NYAKATI 22-24
Wimbo 73 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
UTAJIRI WA NENO YA MUNGU
“Yehova Anabariki Matendo ya Uhodari”: (Dak. 10)
Mali ya Kiroho: (Dak. 10)
2Ny 24:22—Namna gani ombi ya kiunabii ya Zekaria ilitimia? (it-2-F uku. 1231 fu. 10)
Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo ingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) 2Ny 22:1-12 (th somo ya 5)
TUJITOE KABISA MU KAZI YA KUHUBIRI
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Dak. 3) Anza na sehemu Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo. Upatie musikilizaji kichapo moya kati ya Vyombo Vyetu vya Kufundishia. (th somo ya 1)
Kumurudilia Mutu: (Dak. 4) Anza na sehemu Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo. Umualike musikilizaji ku mukutano. (th somo ya 17)
Hotuba: (Dak. 5) w10-SW 15/2 uku. 6-8 fu. 6-10 —Kichwa: Roho ya Yehova Itakusaidia Ukuwe Hodari. (th somo ya 8)
MAISHA YA MUKRISTO
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 15)
Funzo ya Biblia ya Kutaniko: (Dak. 30) lff somo ya 45 nukta ya 4 na kwa kifupi, maulizo ya kujikumbusha, na pima kufanya hivi
Maneno ya Kumalizia (Dak. 3)
Wimbo 37 na Sala