Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

Yehova Anabariki Matendo ya Uhodari

Yehova Anabariki Matendo ya Uhodari

Yehoshabeati na bwana yake Yehoyada, walilinda Yehoashi ili Atalia asimuue (2Ny 22:11, 12; w09-SW 1/4 uku. 24 fu. 1-2)

Kwa uhodari, Yehoyada alitenda ili kumuweka Yehoashi kuwa mufalme (2Ny 23:1-11, 14, 15; w09-SW 1/4 uku. 24 fu. 3-5)

Yehoyada alionyeshwa heshima ya pekee kwa kuzikwa pamoja na wafalme (2Ny 24:15, 16; it-1-F uku. 776 fu. 8)

JAMBO YA KUFIKIRIA: Ningependa kuonyesha uhodari zaidi mu sehemu gani ya utumishi wangu kwa Yehova?