Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

“Yehova Anaweza Kukupatia Nyingi Zaidi Kuliko Hizo”

“Yehova Anaweza Kukupatia Nyingi Zaidi Kuliko Hizo”

Amazia alilipa maaskari ili wapiganishe maadui wa Yehova (2Ny 25:5, 6)

Mutu wa Mungu alimushauria Amazia aambie wale maaskari warudie kwao (2Ny 25:7, 8; it-2-F uku. 1186 fu. 3)

Yehova angepatia Amazia mengi zaidi kuliko makuta yenye alipoteza (2Ny 25:9, 10)

UJIULIZE HIVI: ‘Ninaweza kujiima mambo gani ili kumutumikia Yehova zaidi? Nitapata baraka gani nikifanya vile?’​—Mal 3:10; w21.08 uku. 30 fu. 16.