Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

MAISHA YA MUKRISTO

Furahia Kuanzisha Mazungumuzo

Furahia Kuanzisha Mazungumuzo

Kufanya mazungumuzo ya kawaida na watu ni moja kati ya njia za kuhubiri zenye kufurahisha na zenye kuleta matokeo ya muzuri. Lakini tunaweza kuogopa kuanzisha mazungumuzo ikiwa tunakaza akili juu ya namna tutafikia kuzungumuzia wazo fulani ya Biblia. Kuliko kuhangaika sana juu ya mambo yenye utasema ili kutoa ushahidi, uonyeshe kama unapendezwa na musikilizaji wako. (Mt 22:39; Flp 2:4) Wakati wa mazungumuzo, kama nafasi ya kuzungumuzia imani yako inajitokeza, uko na vyombo mingi vya kukusaidia.

Namna gani vyombo vyenye kufuata vinaweza kukusaidia utoe ushahidi juu ya habari fulani yenye muko nazungumuzia?

MUANGALIE VIDEO CHUMA KINANOA CHUMA”​—NAMNA YA KUANZISHA MAZUNGUMUZO, NA KISHA MUJIBIE ULIZO YENYE KUFUATA:

Ni mambo gani tatu yenye inaweza kutusaidia kukomalisha ufundi wetu wa kuzungumuza na watu?