Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

Unaweza Kumutumikia Yehova Hata Kama Wazazi Wako Hawakuwekee Mufano Muzuri

Unaweza Kumutumikia Yehova Hata Kama Wazazi Wako Hawakuwekee Mufano Muzuri

Mufalme Ahazi, baba ya Hezekia, alifanya mambo ya mubaya sana (2Ny 28:1; w16.02 uku. 10 fu. 8)

Hata kama baba yake alikuwa mufano mubaya, Hezekia alichagua kumutumikia Yehova (2Ny 29:1-3; w16.02 uku. 11 fu. 9-11)

Hezekia alitia wengine moyo waendelee kumutumikia Yehova hata kama baba zao walikosa uaminifu (2Ny 29:4-6)

UJIULIZE HIVI: ‘Ninaweza kufanya nini ili kutia moyo vijana wenye wazazi wao hawamutumikie Yehova?’