Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 8-14/5

2 MAMBO YA NYAKATI 20-21

Tarehe 8-14/5
  • Wimbo 118 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

  • Umutumainie Yehova Mungu Wako”: (Dak. 10)

  • Mali ya Kiroho: (Dak. 10)

    • 2Ny 21:14, 15​—Unabii wenye Eliya alitoa kuhusu Yehoramu ulitimia namna gani? (it-2-F uku. 1190 fu. 5, 6)

    • Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo ingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) 2Ny 20:20-30 (th somo ya 10)

TUJITOE KABISA MU KAZI YA KUHUBIRI

MAISHA YA MUKRISTO