Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

MAISHA YA MUKRISTO

Uko Tayari ili Kupambana na Magumu ya Kupata Makuta?

Uko Tayari ili Kupambana na Magumu ya Kupata Makuta?

Hatushagae wakati matukio fulani inafanya mu dunia yote mukuwe matatizo ya kupata makuta. Juu ya nini ile haitushangaze? Juu tuko naishi mu sehemu ya mwisho ya siku za mwisho, na Biblia inatuonya tusitumainie “utajiri wenye hauko hakika.” (1Ti 6:17; 2Ti 3:1) Mufano wa Mufalme Yehoshafati unaweza kutufundisha nini kuhusu kujitayarisha ili kupambana na magumu ya kupata makuta?

Wakati aliogopeshwa na maadui, Yehoshafati alimutumainia Yehova. (2Ny 20:9-12) Alikamata pia mipango ya kutayarisha taifa mbele ya wakati kwa kutia nguvu miji na jeshi. (2Ny 17:1, 2, 12, 13) Kama Yehoshafati tunapaswa kumutumainia Yehova na kukamata mipango ili kujitayarisha kupambana na hali za nguvu.

MUANGALIE VIDEO UKO TAYARI KWA AJILI YA MUSIBA? NA MUZUNGUMUZIE MAULIZO YENYE KUFUATA:

  • Tunaweza kufanya nini ili kujitayarisha kwa ajili ya musiba?

  • Namna gani tunaweza kujitayarisha juu ya kusaidia wengine?