Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

“Umutumainie Yehova Mungu Wako”

“Umutumainie Yehova Mungu Wako”

Wakati waliogopeshwa, Yehoshafati na watu wa Yuda walitafuta musaada kwa Yehova (2Ny 20:12, 13; w14 15/12 uku. 23 fu. 8)

Yehova alifariji watu wake na aliwapatia muongozo wenye kuwa wazi (2Ny 20:17)

Yehova aliokoa watu wake kwa sababu walimutumainia (2Ny 20:21, 22, 27; w21.11 uku. 16 fu. 7)

Wakati Gogu atashambulia watu wa Yehova mu kipindi ya taabu kubwa, wale wenye kumutumainia Yehova na wenye kutumainia wale wenye Yehova iko natumia juu ya kutuongoza, hawatakuwa na sababu ya kuogopa.​—2Ny 20:20.