Tarehe 3-9/6
ZABURI 45-47
Wimbo 27 na Sala | Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
1. Wimbo Kuhusu Ndoa ya Mufalme
(Dak. 10)
Zaburi 45 inazungumuzia ndoa ya Mufalme Masiya (Zb 45:1, 13, 14; w14 15/2 uku. 9-10 fu. 8-9)
Mufalme atafunga ndoa kisha Armagedoni (Zb 45:3, 4; w22.05 uku. 17 fu. 10-12)
Wanadamu wote watapata baraka zenye ile ndoa italeta (Zb 46:8-11; it-1-F uku. 1041)
UJIULIZE, ‘Moyo wangu “umechangamushwa” juu ya kutangaza habari njema kuhusu, Mufalme wetu, Yesu Kristo?’—Zb 45:1.
2. Mali ya Kiroho
(Dak. 10)
-
Zb 45:16—Hii andiko inatufundisha nini kuhusu maisha mu paradiso? (w17.04 uku. 11 fu. 9)
-
Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ulipata mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia?
3. Usomaji wa Biblia
(Dak. 4) Zb 45:1-17 (th somo ya 5)
4. Kuanzisha Mazungumuzo
(Dak. 3) MAHUBIRI YA WAKATI WOWOTE. (lmd somo ya 1 nukta ya 3)
5. Hotuba
(Dak. 5) ijwbv-SW habari ya 26—Kichwa: Zaburi 46:10 inamaanisha nini? (th somo ya 18)
6. Kufasiria Mambo Yenye Unaamini
(Dak. 4) Onyesho. g 12/10 uku. 22-23—Kichwa: Uko na Mawazo Gani Kuhusu Homosexualité? (lmd somo ya 6 nukta ya 5)
Wimbo 131
7. Endelea Kuonyesha Upendo mu Ndoa Yako
(Dak. 10) Mazungumuzo.
Sherehe ya ndoa inakuwaka wakati ya furaha. (Zb 45:13-15) Mara mingi, siku ya ndoa inakuwaka siku ya furaha sana kwa bibi na bwana. Lakini bibi na bwana wanaweza kufanya nini juu ya kuendelea kulinda ile furaha mu maisha yao yote?—Muh 9:9.
Juu ndoa ikuwe na furaha, bibi na bwana wanapaswa kuonyeshana upendo. Ni muzuri bibi na bwana waige mufano wa Isaka na Rebeka. Biblia inatuonyesha kama zaidi ya miaka 30 mu ndoa yao, waliendelea kuonyeshana upendo wenye upole. (Mwa 26:8) Nini njo inaweza kusaidia bibi na bwana waonyeshane upendo wa vile?
Muangalie VIDEO Siri ya Kuwa na Ndoa Yenye Furaha: Muonyeshane Upendo. Kisha uulize wasikilizaji:
-
Nini njo inaweza kufanya bibi na bwana wasihangaikiane tena kihisia?
-
Bibi ao bwana anaweza kufanya nini juu ya kufanya mwenzake ajisikie kuwa anapendwa na anahangaikiwa?—Mdo 20:35
8. Mahitaji ya Kutaniko
(Dak. 5)
9. Funzo ya Biblia ya Kutaniko
(Dak. 30) bt sura ya 10 fu. 13-21