Tarehe 24-30/6
ZABURI 54-56
Wimbo 48 na Sala | Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
1. Mungu Iko Upande Wako
(Dak. 10)
Wakati uko na woga, umutegemee Yehova sawa vile Daudi (Zb 56:1-4; w06-SW 1/8 uku. 22 fu. 10-11)
Yehova anasamini uvumilivu wako na atakusaidia (Zb 56:8; cl-SW uku. 243 fu. 9)
Yehova iko upande wako. Hataacha hata kidogo jambo fulani ikuumize kwa wakati wote (Zb 56:9-13; Ro 8:36-39; w22.06 uku. 18 fu. 16-17)
2. Mali ya Kiroho
(Dak. 10)
-
Zb 55:12, 13—Yehova alipangaka mbele ya wakati kama Yuda atamusaliti Yesu? (it-2-F uku. 645)
-
Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ulipata mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia?
3. Usomaji wa Biblia
(Dak. 4) Zb 55:1-23 (th somo ya 10)
4. Kuanzisha mazungumuzo
(Dak. 3) MAHUBIRI YA MAHALI PA WATU WENGI. Ambia musikilizaji kuhusu programu yetu ya kujifunza Biblia na watu, na umupatie karte ya funzo ya Biblia. (th somo ya 11)
5. Kuendelesha mazungumuzo
(Dak. 4) MAHUBIRI YA WAKATI WOWOTE. (lmd somo ya 7 nukta ya 4)
6. Hotuba
(Dak. 5) w23.01 uku. 29-30 fu. 12-14—Kichwa: Kumupenda Yesu Kunatuchochea Tukuwe Hodari. Ona picha. (th somo ya 9)
Wimbo “Unipatie Uhodari” (kwa ajili ya mikutano)
7. Tunaweza Kufurahi Ijapokuwa . . . Upanga
(Dak. 5) Mazungumuzo.
Muangalie VIDEO. Kisha uulize wasikilizaji:
-
Mufano wa Ndugu Dugbe unakufundisha nini yenye inaweza kukusaidia wakati unaogopa?
8. Mambo Yenye Kutimizwa na Tengenezo ya Mwezi wa Sita
(Dak. 10) Muangalie VIDEO.
9. Funzo ya Biblia ya Kutaniko
(Dak. 30) bt sura ya 11 fu. 11-19