Mambo Yenye Usimamizi wa Yehova Unafanya
Usimamizi wa Yehova ni mupango wenye Yehova anakamata juu ya kuunganisha viumbe vyake vyote vyenye akili.
-
Unatayarisha Wakristo watiwa-mafuta wenye wataishi mbinguni na Yesu Kristo. Yeye njo Kichwa chao
-
Unatayarisha wenye wataishi ku dunia mu Ufalme wa Kristo
Ninaweza kufanya nini juu ya kuendelesha umoja mu tengenezo la Yehova?