Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | WAEFESO 1-3

Mambo Yenye Usimamizi wa Yehova Unafanya

Mambo Yenye Usimamizi wa Yehova Unafanya

1:8-10

Usimamizi wa Yehova ni mupango wenye Yehova anakamata juu ya kuunganisha viumbe vyake vyote vyenye akili.

  • Unatayarisha Wakristo watiwa-mafuta wenye wataishi mbinguni na Yesu Kristo. Yeye njo Kichwa chao

  • Unatayarisha wenye wataishi ku dunia mu Ufalme wa Kristo

Ninaweza kufanya nini juu ya kuendelesha umoja mu tengenezo la Yehova?