“Muvae Silaha Zote Kutoka kwa Mungu”
Mutume Paulo alilinganisha Wakristo na maaskari wenye wako wanapigana vita. Tuko tunapigana vita na “pepo wachafu.” Hata kama inaweza kuonekana kuwa hatuna nguvu, Yehova anaweza kutusaidia tushinde ile vita kama ‘tunavaa silaha zote kutoka kwa Mungu.’
Taja jina ya kila silaha na maana yake
MAMBO YA KUFIKIRIA: Ninavaa silaha zote?