Tarehe 24-30/06
WAFILIPI 1-4
Wimbo 33 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Musihangaike Juu ya Jambo Lolote”: (Dak. 10)
[Muangalie video Utangulizi wa Kitabu cha Wafilipi.]
Flp 4:6—Wakati uko na mahangaiko, dawa ni kusali (w17.08 uku. 10 fu. 10)
Flp 4:7—Acha “amani ya Mungu” ikulinde (w17.08 uku. 10 fu. 7; uku. 12 fu. 16)
Chimba Ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)
Flp 2:17—Namna gani mutume Paulo alikuwa ‘anamwangwa kama toleo la kinywaji’? (it-2-F uku. 850 fu. 1)
Flp 3:11—“Ufufuo wa kwanza” ni nini? (w07 1/1 uku. 26-27 fu. 5)
Usomaji wa Biblia wa hii juma umekufundisha nini juu ya Yehova?
Umepata mali ingine gani ya kiroho mu usomaji wa Biblia wa hii juma?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Flp 4:10-23 (th somo ya 5)
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Video ya Kumurudilia Mutu Mara ya Pili: (Dak. 5) Muangalie video na kuizungumuzia.
Kumurudilia Mutu Mara ya Pili: (Isipite dak. 3) Tumia ukurasa wa 1. (th somo ya 4)
Funzo la Biblia: (Isipite dak. 5) fg somo ya 6 fu. 3-4 (th somo ya 8)
MAISHA YA MUKRISTO
Uko Mutumwa wa Vyombo Vyako vya Kielektroniki?: (Dak. 5) Muangalie video. Kisha mujibie hii maulizo: Vyombo vya kielektroniki viko na faida gani? Kuwa mutumwa wa vyombo vya kielektroniki kunaweza kuwa na matokeo gani ya mubaya? Utajua je kama ulishakuwa mutumwa wa vyombo vya kielektroniki? Namna gani tunaweza “kuhakikisha mambo ya maana zaidi”? (Flp 1:10)
“Chagua kwa Hekima Mambo ya Kujifurahisha Nayo”: (Dak. 10) Mazungumuzo. Muangalie video Nijifurahishe na Mambo ya je?
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 72
Rudilia mambo fulani yenye mumejifunza, na useme mambo fulani ya kujifunza juma kesho (Dak. 3)
Wimbo 76 na Sala