Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 16-​22 Mwezi wa 7

LUKA 10-11

Tarehe 16-​22 Mwezi wa 7
  • Wimbo 100 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • Mufano wa Musamaria Mwema”: (Dak. 10)

    • Lu 10:29-32​—Kwanza kuhani, na kisha Mulawi, wote wawili hawakusaidia Muyahudi mwenzao mwenye aliangukia katika mikono ya wanyanganyi [Muangalie nwtsty picha na video Barabara ya Kutoka Yerusalemu Kuenda Yeriko” kuhusu Luka 10:30.] (w02 1/9 uku. 16-17 fu. 14-15)

    • Lu 10:33-35​—Musamaria fulani alionyesha upendo mukubwa sana kwa Muyahudi huyo mwenye aliangukia katika mikono ya wanyanganyi (“Musamaria fulani”, “akamwanga mafuta na divai juu ya vidonda vyake, na akavifunga”, “nyumba ya kupangisha wageni” nwtsty kwa ajili ya funzo kuhusu Lu 10:33, 34)

    • Lu 10:36, 37​—Tunapaswa kuonyesha upendo kwa watu wa namna zote, hapana tu kwa watu wa hali yetu ya maisha, rangi yetu ya ngozi, kabila yetu, ao inchi yetu (w98 1/7 uku. 31 fu. 2)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Lu 10:18​—Yesu alitaka kusema nini wakati aliambia wanafunzi wake 70 hivi: “Ninaona Shetani tayari ameanguka kama umeme wa radi kutoka mbinguni”? (“Ninaona Shetani tayari ameanguka kama umeme wa radi kutoka mbinguni” nwtsty kwa ajili ya funzo kuhusu Lu 10:18; w08 15/3 uku. 31 fu. 11)

    • Lu 11:5-9​—Mufano wa rafiki mwenye kuendelea kuomba unatufundisha nini juu ya sala? (“Rafiki”, “unikopeshe mikate tatu”, “Acha kunisumbua, Kuomba kwa uhodari” nwtsty kwa ajili ya funzo kuhusu Lu 11:5-9)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini juu ya Yehova?

    • Umepata mali ingine gani ya kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Lu 10:1-16

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) Anza kwa kutumia namna ya kuanzisha mazungumuzo. Kisha mwenye-nyumba anatokeza kizuia-mazungumuzo chenye kutumiwa sana katika eneo lenu.

  • Kumurudilia Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 3) Anza kwa kutumia namna ya kuanzisha mazungumuzo. Kisha mwenye-nyumba anakuambia kama iko anakula chakula.

  • Kumurudilia Mutu Mara ya Pili; Video: (Dak. 5) Muangalie video na kuizungumuzia.

MAISHA YA MUKRISTO