Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | LUKA 12-13

“Ninyi Ni wa Maana Kuliko Ndege Shomoro Wengi”

“Ninyi Ni wa Maana Kuliko Ndege Shomoro Wengi”

12:6, 7

Ni katika hali gani Yesu alisema maneno yenye kupatikana katika Luka 12:6, 7? Katika mustari wa 4, Yesu aliambia wafuasi wake wasiogope watu wenye wangeweza kuwapinga ao hata kuwaua. Yesu alikuwa anatayarisha wanafunzi wake kwa ajili ya upinzani wenye ulikuwa unawangojea. Aliwahakikishia kama Yehova anaona kila mutumishi Wake kuwa wa maana, na Hangewaacha waendelee kuteseka.

Namna gani tunaweza kuiga namna Yehova anahangaikia wale wenye wanateswa?

Tunaweza kupata wapi habari za sasa juu ya Mashahidi wa Yehova wenye wanafungwa kwa sababu ya imani yao?

Kwa sasa, ni ndugu na dada ngapi wamefungwa?