Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

Matendo ya Ezra Ilimutukuza Yehova

Matendo ya Ezra Ilimutukuza Yehova

Ezra aliacha neno ya Mungu iguse moyo wake na iongoze matendo yake (Ezr 7:10; w00-SW 1/10 uku. 14 fu. 8)

Kupitia Ezra, wengine waliona hekima ya Mungu (Ezr 7:25; si-SW uku. 75 fu. 5)

Juu Ezra alijinyenyekeza mbele ya Mungu, alikuwa hakika kama Mungu atamuongoza na kumulinda (Ezr 8:21-23; it-1-F uku. 1155-1156 fu. 9)

Kwa sababu Ezra alionyesha hekima kutoka kwa Mungu mufalme alimupatia madaraka mazito. Kama Ezra, matendo yetu inaweza kumuletea Yehova sifa.

UJIULIZE HIVI: ‘Watu wenye hawako Mashahidi wananiheshimia kwa sababu ninatii kanuni za Mungu?’