Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 14-20/8

NEHEMIA 8-9

Tarehe 14-20/8
  • Wimbo 110 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

  • Shangwe ya Yehova Ni Ngome Yenu”: (Dak. 10)

  • Mali ya Kiroho: (Dak. 10)

    • Ne 8:2, 8​—Kama Waisraeli “wangeweza kusikiliza na kuelewa” wakati Sheria ilikuwa inasomwa, juu ya nini Walawi pia waliifasiria? (it-1-F uku. 151 fu. 7)

    • Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo ingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Ne 8:1-12 (th somo ya 10)

TUJITOE KABISA MU KAZI YA KUHUBIRI

MAISHA YA MUKRISTO