Tarehe 14-20/8
NEHEMIA 8-9
Wimbo 110 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
UTAJIRI WA NENO YA MUNGU
“Shangwe ya Yehova Ni Ngome Yenu”: (Dak. 10)
Mali ya Kiroho: (Dak. 10)
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Ne 8:1-12 (th somo ya 10)
TUJITOE KABISA MU KAZI YA KUHUBIRI
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Dak. 3) Anza na habari yenye kuwa ku sehemu Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo. Umupatie musikilizaji kichapo fulani kati ya Vyombo Vyetu vya Kufundishia. (th somo ya 13)
Kumurudilia Mutu: (Dak. 4) Anza na habari yenye kuwa ku sehemu Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo. Umualike musikilizaji ku mukutano, na ufanye utangulizi wa video Kwa Kawaida Tunafanya Nini Kwenye Jumba la Ufalme? (lakini usiionyeshe) na muizungumuzie. (th somo ya 11)
Funzo ya Biblia: (Dak. 5) lff somo ya 11 nukta ya 5 na Watu Fulani Wanasemaka (th somo ya 8)
MAISHA YA MUKRISTO
“Unaweza Kuchangia Furaha ya Familia Yenu”: (Dak. 15) Mazungumuzo na video.
Funzo ya Biblia ya Kutaniko: (Dak. 30) lff somo ya 54
Maneno ya Kumalizia (Dak. 3)
Wimbo 123 na Sala