Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Ezra iko nasomea watu Sheria na iko namusifu Yehova

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

“Shangwe ya Yehova Ni Ngome Yenu”

“Shangwe ya Yehova Ni Ngome Yenu”

Watu walikusanyika ili kusikia wakati Ezra alikuwa anasoma Sheria (Ne 8:1, 2; w13 15/10 uku. 21 fu. 2; ona picha ku jalada)

Ile ilipaswa kuwa wakati wa furaha mu ibada ya Yehova, hapana wakati wa kuomboleza kwa sababu ya zambi za zamani (Ne 8:9, 11, 12)

Shangwe ya Yehova ni ngome ya watumishi wake (Ne 8:10; w07-SW 15/7 uku. 22 fu. 9-10)

UJIULIZE HIVI: ‘Hata nikuwe na magumu, niko na sababu gani za kuwa na shangwe?’