Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

Kukosa Kutii Kunaletaka Matokeo ya Kuumiza Sana

Kukosa Kutii Kunaletaka Matokeo ya Kuumiza Sana

Waisraeli fulani walifunga ndoa pamoya na waabudu-sanamu (Ezr 9:1, 2; w06 15/1 uku. 20 fu. 1)

Walizarau kanuni za Yehova zenye kuwa wazi (Ezr 9:10-12)

Kukosa kutii kuliwaletea wao na familia zao maumivu (Ezr 10:10, 11, 44)

Kila amri ya Yehova inakuwaka kwa faida yetu. (w09 1/10 uku. 10 fu. 6) Kama tunatii tutaepuka matokeo ya mingi ya mubaya leo na tutapata baraka za mingi wakati wenye kuya.

UJIULIZE HIVI: ‘Namna gani kumutii Yehova kumefanya niepuke maumivu yenye haiko ya lazima?’