Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

Walijiima na Kujitoa Wenyewe kwa Ajili ya Yehova

Walijiima na Kujitoa Wenyewe kwa Ajili ya Yehova

Familia ziliombwa kuacha uriti wao na kuhamia Yerusalemu (Ne 11:1; w98-SW 15/10 uku. 22 fu. 13)

Wale wenye walikuwa tayari kujitoa kwa kukubali kufanya vile, walibarikiwa (Ne 11:2; w86 15/2 uku. 26)

Mambo yenye tunajiima haiko kitu tukiilinganisha na baraka za Yehova (Mal 3:10; w16.04 uku. 8 fu. 15)

UJIULIZE HIVI: ‘Ni baraka gani zenye nimepata kwa sababu ya mambo yenye nimejiima ili kumutumikia Yehova?’