UTAJIRI WA NENO YA MUNGU
“Mara Moja Nikasali”
[Muangalie video Utangulizi wa Kitabu ya Nehemia.]
Nehemia alisali mbele ya kujibu mufalme (Ne 2:2-4; w08-SW 15/2 uku. 3 fu. 5)
Mufalme alifanya mambo yenye Nehemia alimuomba (Ne 2:5, 6)
JAMBO YA KUFIKIRIA: Tunaweza kufanya nini kama bila kutazamia wanatuomba tufasirie mambo yenye tunaamini?—be-SW uku. 177 fu. 4.