Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

Ukuwe Mushikamanifu kwa Yehova Wakati Unachagua Marafiki

Ukuwe Mushikamanifu kwa Yehova Wakati Unachagua Marafiki

Waamoni na Wamoabu hawakuruhusiwa “kuingia katika kutaniko” kwa sababu zamani walipinga watu wa Mungu (Ne 13:1, 2; it-1-F uku. 100 fu. 8)

Kuhani Mukubwa Eliashibu aliruhusu Muamoni fulani atumie chumba ya kukulia chakula mu hekalu (Ne 13:4, 5; w13 15/8 uku. 4 fu. 5-6)

Nehemia alionyesha ushikamanifu wake kwa Yehova kwa kuvunja mapatano kati ya Eliashibu na ule adui ya Mungu (Ne 13:7-9)

Kama tunachagua marafiki wenye hawamupendi Yehova, je tuko washikamanifu kwa Yehova?—w96-SW 15/3 uku. 16 fu. 6.

UJIULIZE HIVI: ‘Yehova anaona namna gani watu wenye ninachagua kupitisha nao wakati?’