Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

“Musijiingize Katika Kazi Hiyo”

“Musijiingize Katika Kazi Hiyo”

Kuhani Mukubwa Yeshua (Yoshua) na Gavana Zerubabeli waliongoza kazi ya kujenga tena hekalu hata kama ilikuwa imekatazwa (Ezr 5:1, 2; w22.03 uku. 18 fu. 13)

Wakati wapinzani waliwauliza nani njo aliwaruhusu wajenge, Wayahudi walitaya amri ya Koreshi (Ezr 5:3, 17; w86 1/2 uku. 29, kisanduku uku. 2-3)

Mufalme aliunga mukono ile amri na aliamuru wapinzani waache kujiingiza katika ile kazi (Ezr 6:7, 8; w22.03 uku. 15 fu. 7)

JAMBO YA KUFIKIRIA: Namna gani hii habari ya Biblia inatusaidia tufuate muongozo wa wale wenye Yehova ameweka ili watuongoze hata kama hatuelewe muzuri muongozo wenye wanatutolea?​—w22.03 uku. 19 fu. 16.